Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, pamoja na familia yake wameungana na waumini mbalimbali katika kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Jumapili, katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Tarehe 30 Agosti 2026.
Sunday, August 30, 2026
New
MAKAMU WA RAIS, FAMILIA YAKE WASHIRIKI MISA TAKATIFU DODOMA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi, pamoja na familia yake wameungana na waumini mbalimbali katika kushiriki Ibada ya Misa Takatifu ya Jumapili, katika Kanisa Katoliki, Parokia ya Mtakatifu Paulo wa Msalaba, Jimbo Kuu Katoliki Dodoma. Tarehe 30 Agosti 2026.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment