Monday, September 7, 2026
New
New
TANESCO YATUNUKIWA TUZO KUTAMBUA MCHANGO WA UBUNIFU NA MAENDELEO YA NISHATI
MAGENDELA HAMISI
Monday, September 07, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekabidhiwa tuzo ya kwa kutambua mchango wa kipekee katika ubunifu na maendeleo ya s...
Read More
New
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YAPONGEZA UWEKEZAJI WA MIRADI CHALINZE, YATAKA MABASI KUTUMIA STENDI RASMI
MAGENDELA HAMISI
Monday, September 07, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) imepongeza Halmashauri ya Chalinze kwa kutumi...
Read More
New
MZEE WARIOBA AANGUKA AKIHUTUBIA, AKIMBIZWA HOSPITALI
MAGENDELA HAMISI
Monday, September 07, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU HABARI zilizotufikia hivi Punde zinasema Waziri Mkuu Mstaafu, Jaji Joseph Warioba, ameanguka ghafla wakati akizungumza ka...
Read More
Sunday, September 6, 2026
New
KAMATI YA BUNGE YA PIC YAGUSA MCHANGA UNAOHAMA
MAGENDELA HAMISI
Sunday, September 06, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU KAMATI ya kudumu ya Bunge ya Uwekezaji na Mitaji kwa Umma mwishoni mwa wiki iliyopita imetembelea eneo la hifadhi ya Ngo...
Read More
New
RAIS DKT. SAMIA KUZINDUA MIRADI KATIKA MJI WA SERIKALI MTUMBA DODOMA
MAGENDELA HAMISI
Sunday, September 06, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua majengo ya Ofisi za Wizara, Taasis...
Read More
New
RAIS SAMIA ATOA BILIONI 13 KUJENGA DARAJA LA LOYA, KUOKOA MAISHA, KUFUNGUA FURSA ZA KIUCHUMI UYUI - PROF. SHEMDOE
MAGENDELA HAMISI
Sunday, September 06, 2026
0 Comments
NA OWM – TAMISEMI, TABORA WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, a...
Read More
New
UMEME WA UHAKIKA MIGODINI WACHANGIA ZAIDI YA SHILINGI BILIONI 340 KWA MWAKA
MAGENDELA HAMISI
Sunday, September 06, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU, DODOMA MKUU wa Wilaya ya Geita, Hashimu Komba, amesema upatikanaji wa umeme wa uhakika katika migodi una mchango mkubwa ...
Read More
New
TUNAENDELEA KUBORESHA HUDUMA ZETU KIDIJITALI KUONGEZA UFANISI KWA WAGENI-NCAA
MAGENDELA HAMISI
Sunday, September 06, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU UONGOZI wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) umeeleza kuwa, umedhamiria kuendelea kuboresha utoaji huduma k...
Read More
New
HAIDROJENI YA KIJANI KUONGEZA WIGO WA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KILWA
MAGENDELA HAMISI
Sunday, September 06, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU, LINDI MKURUGENZI wa Nishati Safi ya Kupikia kutoka Wizara ya Nishati, Nolasco Mlay, ametembelea Mradi wa Haidrojeni ya Ki...
Read More
Saturday, September 5, 2026
New
WADAU WA SEKTA YA AFYA ZAIDI YA 3000 KUSHIRIKI MKUTANO WA KIMATAIFA WA HUDUMA ZA AFYA YA MSINGI
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA OWM – TAMISEMI, DODOMA WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki She...
Read More
New
TMA YATAKIWA KUIMARISHA UTAABIRI NA TAHADHARI ZA MAPEMA KUKABILI ATHARI ZA HALI YA HEWA - MITAWI
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU NAIBU Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi, Abdallah Mitawi, ameitaka Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) kuimarisha mi...
Read More
New
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA TAMISEMI YATAKA MAPATO YA BANDARI KAVU YAGEUKE HUDUMA BORA KWA WANANCHI WA TEMEKE
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA OWM – TAMISEMI KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) leo Septemba 5, 2026 imefanya ziara katika ...
Read More
New
TANESCO YABORESHA MAISHA YA WAFANYAKAZI NYUMBA YA MUNGU
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU,. KILIMANJARO SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua na kukabidhi nyumba zilizokarabatiwa kwa wafanyakazi wa Kituo...
Read More
New
TARURA YAWAJENGEA UWEZO WATUMISHI WAPYA 60 KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU, DODOMA WAKALA ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) imetoa mafunzo elekezi kwa watumishi wapya 60 wakiwemo Wahandis...
Read More
New
WIZARA YA NISHATI YAPONGEZWA KUTEKELEZA MAAGIZO YA KAMATI
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Subira Mgalu, ameipongeza Wizara ya Nishati na Shirika la Um...
Read More
New
TANZANIA YAPIGA HATUA KATIKA MAPAMBANO DHIDI YA UTAKASISHAJI FEDHA NA UFADHILI WA UGAIDI
MAGENDELA HAMISI
Saturday, September 05, 2026
0 Comments
NA MWANDISHI WETU, KIGALI RWANDA WAZIRI wa Fedha wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Khamis Mussa Omar (Mb) amesema kuwa ...
Read More
Friday, September 4, 2026
New
"SHERIA YA VIPIMO NI RAFIKI WA WOTE, MUUZAJI NA MNUNUZI"
MAGENDELA HAMISI
Friday, September 04, 2026
0 Comments
NA WMA - MWANZA WAKALA wa Vipimo (WMA) umesisitiza kuwa ni rafiki wa muuzaji na mnunuzi na kwamba sheria ya vipimo haikuundwa kuwakomoa wa...
Read More



