DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA BRAZIL LEO - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Tuesday, March 14, 2017

DK.SHEIN AKUTANA NA BALOZI WA BRAZIL LEO



IS
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na  Balozi wa Brazil katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Carlos Alfonso lglesias Puente   alipofika Ikulu Mjini Unguja leo.
IS 1
 Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akizungumza na  Balozi wa Brazil katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Carlos Alfonso lglesias Puente   alipofika Ikulu Mjini Unguja leo ,[Picha na Ikulu,] 14/03/2017.
You might also like:

No comments:

Post a Comment