NA MWANDISHI WETU, MBEYA
WAZIRI Mkuu Mtaafu wa Awamu ya nne, Mizengo Pinda ametembelea banda la Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) lililopo katika viwanja vya John Mwakangale, Uyole mkoani Mbeya, kupitia Maonesho ya Nane Nane yanayoendelea kufanyika kuanzia tangu tarehe 01 hadi 08 Agosti 2023.
Aidha, kupitia maonesho hayo, wadau pamoja na wanafunzi mbalimbali wameendelea kumiminika katika banda hilo ili kujifunza na kupata ufafanuzi wa taarifa mbalimbali zinazotolewa na TMA.




No comments:
Post a Comment