Askofu Mkuu mstaafu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amefariki dunia.
Katika taarifa yake Askofu Mkuu wa Jimbo Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam Yude Ruwai'chi amesema Pengo amefariki usiku wa Februari 19 mwaka huu alipokuwa akipatiwa matibabu katika Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), jijini
Endelea kufuatilia kurasa zetu tutakuletea taarifa zaidi kuhusu taratibu za mazishi.
.jpg)




No comments:
Post a Comment