KIGAILA, MREMA, MWALIMU WANG'OKA CHADEMA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Wednesday, May 7, 2025

KIGAILA, MREMA, MWALIMU WANG'OKA CHADEMA


NA MWANDISHI WETU


BAADHI ya viongozi waliokuwa wa Sekretarieti  ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), wameng'oka ndani ya chama hicho kwa madai ya kuchoshwa na vitengo vya udikteta, udhalilishaji, kunyanyapaliwa na kuitwa 'Team Mbowe'


 Kwa Mujibu wa Benson Kigaila wajumbe ambao wamejiondoa CHADEMA ni yeye binafsi, John Mrema, Salum Mwalimu, Julius Mwita, Catherine Ruge na Wengineo.


Benson muda huu anaendelea kuekeza Sababu mbalimbali muda huu jijini Dar es Salaam mbele ya Waandishi wa Habari.


Endelea kufuatilia.....  

No comments:

Post a Comment