NA WAF - IRINGA
NAIBU Waziri wa Afya, Dkt. Godwin Mollel, amewataka wauguzi kote nchini kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu na uzalendo, huku akisisitiza umuhimu wa kulinda miiko na maadili ya taaluma ya uuguzi ili kuhakikisha huduma bora kwa wananchi.
Akizungumza leo Mei 12, 2025 katika kilele cha maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani yaliyofanyika kitaifa mkoani Iringa, Dkt. Mollel amewaasa wauguzi kuendelea kuwa na nidhamu ya kazi, kuheshimu wateja wao, na kuhakikisha wanatoa huduma kwa huruma na ufanisi bila kujali changamoto zilizopo katika mazingira yao ya kazi.
“Wito wangu kwa wauguzi wote ni kuwa waadilifu, waendelee kutunza maadili ya taaluma yao. Taaluma ya uuguzi inahitaji moyo wa kujitolea, lakini pia ni taaluma inayohitaji uaminifu na uadilifu wa hali ya juu kwa sababu mnashughulika moja kwa moja na maisha ya watu,” amesema Dkt. Mollel
Katika hatua nyingine, Naibu Waziri huyo amewataka wauguzi kuwa wabunifu na wagunduzi katika kazi zao, akisisitiza kwamba ubunifu una nafasi kubwa katika kuimarisha utoaji wa huduma za afya, hasa katika maeneo yenye upungufu wa vifaa na rasilimali watu.
“Natoa changamoto kwa wauguzi kuwa wabunifu. Dunia inabadilika kwa kasi, hivyo hata nyie mnatakiwa kuwa mstari wa mbele katika kutumia maarifa yenu kutatua changamoto zilizopo kwenye sekta ya afya. Tunaweza kuwa na mifumo bora ya kutoa huduma kama tutakuwa wabunifu,” ameongeza Dkt. Mollel.
Maadhimisho ya Siku ya Wauguzi Duniani hufanyika kila mwaka Mei 12 ili kutambua mchango mkubwa wa wauguzi katika sekta ya afya duniani kote.Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na wauguzi kutoka mikoa mbalimbali nchini, ambapo pia zilitolewa zawadi kwa wauguzi waliotambuliwa kwa umahiri na ufanisi kazini.










UTAJIRI AU FEDHA ZA NDAGU AU MAJINI KWA MUDA MFUPI
ReplyDelete(Kwanza kabisa nataka kukwambia kwamba hakika utajili ni azina kutoka kwa mwenyezi mungu na pia kuna viumbe alio wapa mamlaka na nguvu ya kumiliki mali)
MPAKA MASAA 72(SIKU3) PAPO HAPO KWA MASHARTI MAALUM KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
KUMBUKA MALIPO NI BAADA YA KUFANIKIWA
kwa maelezo kamili piga namba +255742162843
(KWANINI USUMBUKE,HACHA KUTANGATANGA, NA MAISHA NI MAFUPI PUUZA UONGOFU WA KUWA MTU KUWA TAJIRI NI DHAMBI WAKATI AKUAMBIAE YEYE NI TAJIRI (Tumia ufahamu kujinasuaUTAJIRI WA NDAGU(MASHARTI) NDANI YA MASAA 72(SIKU TATU) PAPO HAPO KIKUBWA UWE MWAMINIFU, JASILI NA UWE NA UTAYARI WA KUPOKEA MASHARTI YA KUTUNZA SIRI HII SIO MZAHA......
NAITWA DR, MDIRO piga 0742162843. KAMA UNAITAJI PESA ZA MAJINI AU NDAGU YA MALI AU ULINZI KWA MALI YAKO
(HUSITUME SMS PIGA SIMU KUHEPUKA MATAPELI)
MATIBABU MENGINEYO NI KAMA UTULIVU KATIKA NDOA, AU KUMVUTA UMPENDAE, KUONDOA MIKOSI, MABALAA, KUOSHA NYOTA, KUITAMBUA NYOTA YAKO NA ASILI YA KAZI YAKE, KAMA UNASUMBULIWA NA MAJINI MAHABA NA SHIDA YA UZAZI.
NIPIGIE 0742162843. KIKUBWA NI KUSIKILIZA NA KUFATA MASHARTI. ANGALIZO USITUME SMS PIGA NA UWE NA NIA.
(kuhusu utajiri au pesa) KABLA YA KUPIGA SIMU ZINGATIA YAFUATAYO
1. uwe una umri wa miaka 18+
2. uwe tayari kupokea masharti yote
3.uwe na uwezo wa kutunza siri
4. uwe jasiri wa kupokea taarifa yoyote
KARIBU SANA KWA SHIDA NYINGINE PIA ULIYONAYO AMBAYO SIJATAJA INSHAALAH ITATATULIWA IKIWA NDANI YA UWEZO WANGU.