KAMISHNA BADRU AKAGUA GWARIDE - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Wednesday, February 11, 2026

KAMISHNA BADRU AKAGUA GWARIDE

 





Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro Bw. Abdul-Razaq Badru amepokelewa Rasmi kwa  kukagua gwaride la heshma katika ofisi za Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro eneo la Njia Panda Karatu baada ya Kivishwa Cheo na kuapishwa na Waziri wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb)  kuwa kamishna wa Uhifadhi hivi Karibuni.

No comments:

Post a Comment