SBL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA VIN NKOLOMBOKA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Monday, February 16, 2026

SBL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA VIN NKOLOMBOKA



NA MWANDISHI WETU

KAMPUNI Simba Bries (SBL) imezindua kinywaji kipya kwa ajili ya Watanzania kinachoitwa Vin Nkolomboka.

Alitambulisha kinywaji hicho leo, jijini Dar es Salaam, Kwa niaba ya kampuni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni Dominick Salamba amesema kinywaji kimezingatia masharti yote kupitia mamlaka husika

"Nawaomba Watanzania warumie kinywaji hicho Kwa maana ni cha asili na kinaongeza nguvu na hakina madhara,"amesema.

No comments:

Post a Comment