RAIS DKT SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA UDAKTARI SEKTA YA ANGA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Monday, June 3, 2024

RAIS DKT SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA HESHIMA YA UDAKTARI SEKTA YA ANGA

 

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akitunukiwa Udaktari wa Falsafa wa Heshima (Honoris Causa) kwenye Sekta ya Anga na Rais wa Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga (Korean Aerospace University) Hee Young Hurr wa kwanza kulia, Jijini Seoul, Jamhuri ya Korea tarehe 03 June, 2024. Wa kwanza kushoto ni Amidi wa Shule Kuu Soo Chang Hwang


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Viongozi mbalimbali wa  Chuo Kikuu cha Sayansi ya Anga cha Korea pamoja na Wanafunzi wa Chuo hicho mara baada ya kutunukiwa  Udaktari wa Falsafa ya Heshima katika Sekta ya Anga (Honoris Causa) Jijini Seoul Jamhuri ya Korea tarehe 03 Juni 2024.







No comments:

Post a Comment