DKT MOLLEL ACHUKUA FOMU KUTETEA JIMBO LA SIHA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Monday, June 30, 2025

DKT MOLLEL ACHUKUA FOMU KUTETEA JIMBO LA SIHA



Naibu Waziri wa Afya na Mbunge wa Siha, Dkt. Godwin Mollel, amechukua fomu ya kugombea tena Ubunge wa Jimbo la Siha, mkoani Kilimanjaro, kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Fomu hiyo imekabidhiwa kwake na Katibu wa CCM Wilaya ya Siha, Andrea Gwaje

No comments:

Post a Comment