MKUU WA MKOA WA MARA ATEMBELEA MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA MWANZA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Thursday, November 24, 2022

MKUU WA MKOA WA MARA ATEMBELEA MAADHIMISHO YA WIKI YA HUDUMA ZA FEDHA MWANZA

 

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Generali Suleiman Mzee, akisaini kitabu cha wageni alipowasili katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yanayoendelea katika Viwanja vya Rock City Mall, jijini Mwanza.

Mkuu wa Mkoa wa Mara, Meja Generali Suleiman Mzee, akizungumza na Mwalimu wa VICCOBA, Bw. Evance Chipanda, alipotembelea katika maadhimisho ya Wiki ya Huduma za Fedha Kitaifa, yanayoendelea katika Viwanja vya Rock City Mall, jijini Mwanza.

 (Picha na Kitengo cha Mawasiliano Wizara ya Fedha na Mipango, Mwanza) 

No comments:

Post a Comment