Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa(Mb) akishuhudia utiaji
saini mkataba wa ujenzi wa daraja la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara
unganishi ya kilometa 2.294 kwa kiwango cha lami, kati ya Mtendaji Mkuu wa
TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta na Kampuni ya Mumangi Construction Company
Ltd, Mhandisi Nyangureta Mumangi, leo tarehe 17 Disemba 2023 Wilayani Magu jijini Mwanza.
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara (TANROADS), Mhandisi
Mohamed Besta na Mkurugenzi Mzawa wa Kampuni ya Mumangi Construction Company
Ltd, Mhandisi Nyangureta Mumangi wakionesha Mkataba wa ujenzi wa daraja la
Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara unganishi ya kilometa 2.294 kwa
kiwango cha lami mara baada ya kusaini mkataba huo mbele ya Waziri wa Ujenzi,
Innocent Bashungwa(Mb), leo tarehe 17 Disemba 2023 Wilayani Magu jijini Mwanza.
Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa(Mb) (kulia) akifurahi
jambo na Mkuu wa Wilaya ya Kwimba, Ng'wilabuzu Ludigija katika hafla ya utiaji
saini mkataba wa ujenzi wa daraja la Sukuma lenye urefu wa mita 70 na barabara
unganishi ya kilometa 2.294 kwa kiwango cha lami, leo tarehe 17 Disemba 2023
Wilayani Magu jijini Mwanza.
No comments:
Post a Comment