NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amemtembelea na kumpa pole Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi nyumbani kwake Migombani, Unguja kutokana na kifo cha Baba yake mzazi, Hayati Mzee Ali Hassan aliyefariki dunia Februari 29, 2024 na kuzikwa Machi 2 2024. Kushoto kwa Rais Dkt. Mwinyi ni Mkewe, Mama Mariam Mwinyi.
Wednesday, March 6, 2024
New
DKT. BITEKO AMTEMBELEA RAIS WA ZANZIBAR KUHANI MSIBA WA MZEE ALI HASSAN MWINYI
NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko amemtembelea na kumpa pole Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi nyumbani kwake Migombani, Unguja kutokana na kifo cha Baba yake mzazi, Hayati Mzee Ali Hassan aliyefariki dunia Februari 29, 2024 na kuzikwa Machi 2 2024. Kushoto kwa Rais Dkt. Mwinyi ni Mkewe, Mama Mariam Mwinyi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment