MSEMAJI WA SERIKALI ATEMBELEA OFISI ZA JAMII FORUMS - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Wednesday, July 10, 2024

MSEMAJI WA SERIKALI ATEMBELEA OFISI ZA JAMII FORUMS


NA MWANDISHI WETU

MKURUGENZI wa Idara ya Habari (Maelezo) na Msemaji Mkuu wa Serikali, Thobias Makoba, ametembelea Ofisi za Jamii Forums, zilizopo Kawe jijini Dar es Salaam.

Makoba, baada ya kufika katika ofisi hizo Leo, Julai 10, 2024 alipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa Jamii Forums, Maxence Melo.


Matukio katika picha










No comments:

Post a Comment