ADO AJIANDIKISHA TUNDURU - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Friday, October 18, 2024

ADO AJIANDIKISHA TUNDURU

 

Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amejiandikisha kupiga kura kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa katika Kijiji cha Ngalinje, Kata ya Mchangani Wilayani Tunduru. #VijijiVyaWote #MaslahiYaWote.




No comments:

Post a Comment