EDITHA EDWARD ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIBAMBA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Monday, June 30, 2025

EDITHA EDWARD ACHUKUA FOMU KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KIBAMBA


MWANDISHI WETU


MWANACHAMA Kindakindaki wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), EDITHA Edward amejitokeza kutia nia kuwania Ubunge Jimbo la Kibamba.



Hii ni mara ya pili kwa mwanachama huyo kuingia katika kinyanga'nyiro hicho ambapo mwaka 2020 kura zake hazikutosha.


"Baada ya kura zangu kutotosha mwaka 2020, kwa sasa nimejipima naona naweza, hivyo nikipita katika mchakato huu nataweka bayana vipaumbele vyangu, " amesema.

No comments:

Post a Comment