Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko (katikati) akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi NCAA , Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo kufuatia NCAA kuwa sehemu ya wadhamini wa kikao cha Wenyeviti wa Bodi na wakuu wa Taasisi kilichofanyika Jijini Arusha tarehe 23-26 Agosti, 2025. Kushoto ni Kamishna wa Uhifadhi NCAA, Abdul-Razaq Badru.
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dkt. Dotto Biteko (katikati) akimkabidhi cheti Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi NCAA , Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenerali Venance Mabeyo kufuatia NCAA kuwa sehemu ya wadhamini wa kikao cha Wenyeviti wa Bodi na wakuu wa Taasisi kilichofanyika Jijini Arusha tarehe 23-26 Agosti, 2025. Kushoto ni Kamishna wa Uhifadhi NCAA, Abdul-Razaq Badru.
No comments:
Post a Comment