Na Hamisi Magendela
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Edward Hamisi 'Fidodido' amesema yuko katika hatua za mwisho kukamilisha wimbo ambao bado hajaupa jina.
Akizungumza Dar es Salaam jana , Fidodido alisema ngoma hiyo imetengenezwa na Prodyuza Mensen Selector.
| Fidodido |
Msanii huyo alisema kuwa wimbo huo unatarajiwa kuachiwa mwezi ujao pindi utakapokamilika.
Hivyo amewaomba wadau mbalimbali kuhakikisha wanamuunga mkono katika kazi hiyo na ijayo kama walivyofanya kwa zilizotangulia.




No comments:
Post a Comment