Na Zahoro Mlanzi
MSANII mkongwe wa miondoko ya Bongofleva, Judith Wambura 'Lady Jaydee', amesema kutokana na kifo cha mwanamuziki wa hip hop Albert Mangwea 'Ngwea , amesogeza mbele uzinduzi wa albamu yake mpya ya 'Nothing but the trust', mpaka atakapotangaza tena.
![]() |
| Msanii, Lady Jaydee |
Nyota huyo alipotakiwa kumzungumzia jinsi anavyomfahamu Mangwea, alisikika akizungumza kwa huzuni huku akilia na kushindwa kuendelea.
Jaydee alikuwa katika maandalizi ya mwisho ya uzinduzi wa albamu hiyo ambao ungefanyika Mei 31, mwaka huu ambao ungekwenda sanjari na kusherehekea kutimiza miaka 13 akiwa katika muziki.





No comments:
Post a Comment