Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt. Stergomena Tax
akisalimiana na Balozi wa Visiwa vya Comoro nchini, Mhe. Dkt. Ahamada El
Badaoui Mohamed katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa Visiwa vya Comoro nchini, Mhe. Dkt. Ahamada El Badaoui Mohamed akimueleza
jambo Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Dkt.
Stergomena Tax katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam.






No comments:
Post a Comment