MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA TANGA - MAGENDELA BLOG

Breaking

Recent-Post

ads header

Sunday, November 20, 2022

MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI IBADA TANGA

 



Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango pamoja na mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakishiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa kuu la Mtakatifu Anthony wa Padua Jimbo katoliki Tanga leo tarehe 20 Novemba 2022.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango akizungumza na waumini wakatoliki mkoani Tanga mara baada ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa kuu la Mtakatifu Anthony wa Padua Jimbo katoliki Tanga leo tarehe 20 Novemba 2022.

No comments:

Post a Comment