Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Philip Mpango pamoja na mkewe Mama Mbonimpaye Mpango wakishiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa kuu la Mtakatifu Anthony wa Padua Jimbo katoliki Tanga leo tarehe 20 Novemba 2022.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.
Philip Mpango akizungumza na waumini wakatoliki mkoani Tanga mara baada
ya kushiriki Ibada ya Misa Takatifu katika Kanisa kuu la Mtakatifu
Anthony wa Padua Jimbo katoliki Tanga leo tarehe 20 Novemba 2022.
No comments:
Post a Comment